Habari

Tanzania hatukutakiwa kuwa omba omba – Rais Magufuli (+video)

Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Tanzania ni tajiri na hatukutakiwa tuwe maskini, ameeleza kuwa hatukutakiwa kuwa omba omba huku akieleza kuwa haikutakiwa tukiwa tunaomba misaada kwa watu wa nje. Tazama video hii akieleza.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents