Burudani

Tanzia: Baba mzazi wa Alikiba, Mzee Saleh Kiba afariki dunia

Baba mzazi wa Msanii wa Bongo Fleva Ali Kiba, Mzee Saleh Kiba, amefariki dunia alfajiri ya leo katika Hospitali ya Taifa Ya Muhimbili jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kariakoo mtaa wa Muheza jijini Dar es salaam (unaingilia China Plaza) ambapo mipango ya mazishi inafanywa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents