Michezo
TFF :Vilabu vyote vitawajibika kuiga Simba SC (Video)
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Richard Wambura amewaunga mkono wanachama wa klabu hiyo kwa kufanya maamuzi sahihi licha ya kuchelewa kwao katika kuingia katika mfumo huo ambao tayari duniani hutumika.
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Richard Wambura
“Leo nisiku moja muhimu sana kubadilisha soka la Tanzania, tangu klabu ya Simba na nyinginezo kongwe tangu zilipoanzishwa hakujawahi kufanyika napinduzi makubwa kama ambayo yanafanyika leo.”