Habari

Twaweza wafunguka kusambaza barua ya Costech na ishu ya kutotambulika (Audio)

Saa chache baada ya Tume ya Sayansi na Teknolojia, (Costech) kusema wamesikitishwa na kitendo cha kusambaa mitandaoni kwa barua waliyowaandikia taasisi ya Twaweza, Meneja wa Utetezi wa Twaweza, Anastasia Rugava amesema hawajahusika kuisambaza hiyo barua kama Costech wanavyodai.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents