Habari
Video: Aliyekuwa mhasibu wa TAKUKURU afikishwa Mahakamani
Aliyekuwa Mhasibu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU), Godfrey Gugai, leo hii amefikishwa mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka ya kujilimbikizia mali kinyume na sheria. Tazama video:
Ambapo kesi hiyo imehairishwa mpaka tarehe 4 Disemba mwaka huu ambapo Jaji atatoa uamuzi wa kukubali hoja za washtakiwa na kufuta baadhi ya kesi zilizoorodheshwa upande wa mashtaka ambapo utetezi wamedai hazina maelezo ya kutosha.