Burudani
Video: Diamond, Alikiba na Alikiba kimataifa bado, wana changamoto – Amini
Msanii wa muziki Amini amedai licha ya wasanii kama Diamond, Alikiba pamoja na Harmonize muziki wao kwenda kimataifa lakini bado kwenye uimbaji wanachangoto.
Muimbaji huyo ambaye ni zao la THT amedai wasanii wengi bado wanachangamoto kwenye utunzi na kuimba muziki live.