Burudani
Video: Dudubaya awachana Amber Lulu na wenzake
Rapper mkongwe Dudubaya ameendelea kuwatetea wanaume kutokana na kauli tofauti tofauti mbaya ambazo zimekuwa zikitolewa dhidi yao. Kutokana na hilo msanii huyo amewachana warembo ambao wamekuwa wakipiga picha za uchi na kuzipost mitandaoni. Tazama video hiyo hapo chini kumsikiliza zaidi alivyowachana.