Habari
Video: IGP Sirro anapaswa anyamaze – Chadema
Mwanasheria wa Chadema, John Mallya amesema kuwa IGP, Simon Sirro hana mamlaka ya kutoa amri kwa wananchi kuwa wajadili nini na wasijadili nini, ameeleza kuwa mamlaka hayo hana huku wakisema kuwa yeye anapaswa anyamaze na wananchi, wanasheria, wananchi wa jimbo lake waendelee kujadili tukio la Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Tazama video hii akieleza: