BurudaniUncategorized
Video: Nini ameniacha lakini bado nampenda, akitaka kurudi nipo tayari – Nay wa Mitego
Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego kwa mara ya kwanza amefunguka kuzungumzia namna alivyoachana na mpenzi wake ‘Nini’. Mrembo huyo ambaye pia bado anadaiwa kuwa ni msanii wa Free Nation label ya rapa huyo, alidai ameamua kumuacha rapa huyo kwa madai amekuwa na michepuko mingi.
Alikuja ukiwa hot kila kona umebamba kwenye music sasa umetulia amekukimbia embu toa ngoma baada ya ngoma atarudi mwenyewe coz mwanzo alitaka jina lake liwe na power kama lako
Nilisikia Dada mmoja anasema unakibamia
Napenda ivo bro mwache atarudi mwenyewe 2
Kwer ney