Habari
Video: Nitakubaliana na matokeo Kinondoni – Mtulia
Mgombea wa Ubunge kupitia CCM, Maulid Mtulia asubuhi katika amesema atakubaliana na matokeo yatakayotangazwa na kama kutakua na uvunjwaji wa sheria basi Chama chake kitachukua hatua za kisheria. Tazama video hii anaeleza: