Burudani
Video: Tekno ndiye aliye-play part kubwa kuuandaa wimbo ‘Sikila’ – Madee
Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection, Madee Ali amefunguka kwa kusema kuwa wimbo ‘Sikila’ umeandaliwa na muimbaji Tekno kutoka Nigeria kwa 90%. Madee ameiambia Bongo5 kuwa baada ya Tekno kupewa idea na Babu Tale ya nini anatakiwa kufanya na Madee, aliomba aandae biti ya wimbo huo pamoja na mambo mengine.