Burudani
Video: Tumekuja kuukomboa muziki wa dansi – Papii Kocha
Papii Kocha amesema kuwa baada ya kuachiwa na Rais Magufuli, walifurahi sana ambapo furaha hiyo ilipelekea wao kulia. Hata hivyo Papii baada ya kusema hayo alieleza ujio wake kwenye game ya muziki kuwa watu wakae mkao wa kula na wamekuja kuukomboa muziki wa dansi;Tazama video hii Papii akieleza.