Burudani

Video ya ‘Nashindwa’ imegharimu shilingi milioni 15 – Christian Bella

Christian Bella amesema video ya wimbo wake mpya ‘Nashindwa’ ndio bora zaidi kuliko zingine za muziki wa dansi nchini na kwamba imemgharimu shilingi milioni 17.

IMG_0371

Bella ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa ubora huo unatokana na kuwekeza milioni 17 kwaajili ya video hiyo iliyofanyika nchini Afrika Kusini.

Alisema gharama hizo zinatokana na usafiri, maandalizi yote na kukamilika kwa video hiyo ambayo ipo katika kiwango cha kimataifa.

“Ukweli ni kwamba, tunatakiwa tubadilike tuwekeze kwenye video zetu si wa Bongo Flava tu nasi wa dansi tufanye hivyo, maana gharama kubwa ya video ya muziki wa dansi ni milioni 5,” alisema.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents