Habari

Watanzania wamechoka kuonewa – Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewataka viongozi wa halmashauri za Wilaya na Mikoa kusimamia miradi ya maendeleo kikamilifu na kutumia vizuri fedha za serikali huku akisema serikali yake itakuwa upande wa wanyonge kwa sababu Watanzania wamechoka kuonewa kila siku.

Rais Magufuli ameyasema hayo Jumatatu hii, wakati wa uzinduzi wa nyumba 50 za wahudumu wa afya, zilizojengwa na Taasisi ya Mkapa Foundation.

Soma taarifa kamili:


Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents