Burudani

Waziri Mwakyembe atoa nafasi kwa wasanii na Basata kujadili tozo ya milioni 5 (Video)

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amezungumza na wadau wa sanaa wakiwemo wasanii wa muziki kujadili sakata jipya la tozo ambalo limeanzishwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata).

Moja kati ya tozo ambazo zimechukua muda mwingi kujadiliwa ni tozo ya milioni 5 kwa kila kampuni ya biashara ambazo zitataka kufanya kazi na wasanii.

Baada ya kikao hicho Waziri Mwakyembe aliwataka wasanii wachache pamoja na wadau wa sanaa wakae na Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kujadili namna kubadili huo mfumo.

https://www.instagram.com/p/BlOGM6HjLMA/?taken-by=bongofive

Alisema pesa hizo zinaenda kuwasaidia wasanii sio kundi jingine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents