Burudani

Willy Paul Msafi awatoa povu mashabiki kwa picha za harusi akiwa na Alaine wa Jamaica

Muimbaji wa nyimbo za injili kutoka Kenya almaarufu kama Willy Paul Msafi, Ijumaa hii ya tarehe 24/2/2017 amezua gumzo kwenye mitando ya kijamii Kenya baadaya ya ku-post picha zinazoonyesha kua amefunga ndoa na mwanamuziki staa wa Dance hall kutoka Jamaica mrembo Alaine.

Willy Paul anatambulika kuwa mshndani wa karibu wa msanii mwenzeke wa muziki wa gospel, Kevin Bahati, ambaye hivi majuzi alitikisa nguzo za mitando ya kijamii Africa Mashariki kwa kutuletea Prayer Partner wake. Je Willy Paul analipiza kwa kumjibu Bahati na Alaine kama prayer partner wake ama ni project tu?

Alaine ambaye hivi majuzi alifanya collabo ya wimbo Addicted na mwanamuziki Edyy Kenzo kutoka Uganda, amekuwa akiitembelea nchi ya Kenya kufanya kazi zake za muziki. Na inafahamika kazi yake yakwanza kufanya na Mkenya ilikuwa Nakupenda aliyofanya na Wyre.

Hata hivyo mrembo huyo wa Jamaica hajasema lolote kuhusiana na kuwekwa kwa picha hizo za pamoja ya harusi na Willy Paul Msafi japo ametajwa mara zaidi ya mia moja kwenye tags na mashabiki lukuki wa muziki wa mwanamuziki Willy hali ambayo imefanya jina lake ku-trend kwenye mtandao wa Twitter nchini Kenya.

Mashabiki wengi wa Willy Paul na wale wa mpinzani wake kimuziki Bahati, wamekuWa wakitoa maoni yao tofauti tofauti huku wengi wakikataa kabisa kuwa Alaine anaweza kuolewa na Willy Msafi.

Soma hapa baadhi ya cheche zenye hisia tofauti kutoka kwa mashabiki nchini Kenya, Ambao wengi wamepigwa na butwaa maana hawakutarajia kama Willy Paul angechukua hatua kama hii, ambayo kwakweli haijulikani kama ni project ya wimbo ama wanamuziki hawa wawili wameamua kuzifunga pingu za maisha pamoja.

bil.jordan‏@bilojode:I repeat if Alaine x Willy Paul is anything other than a music video I’ll never listen to Alaine again

Melchizadek Olungur‏@melongur: hahaha….so Willy Paul was the Wafula Alaine was searching for That’s the world for you

ReplyLoki (ECCC-P14)‏@MisterLokiDoki: Quick drawings of my NPC Alaine from my DND campaign with @Dihuh @kikiinspace @GendoBrendo and @NavyBlueDude

Joshua Ndirangu: MoDon’t get me wrong folks, its not that I dislike Willy Paul, I fc***ng despise him. Alaine read my lips

IamConstato‏@ConstatoAsirvex: Now it’s Willy Paul and Alaine next will be Mbuci Bonoko with Nicki Minaj

Master_Ben‏@benhembb: so we shud just call Willy Paul #wafula as that’s what she came searching 4 & Alaine #mke_mwema coz that’s wat he prayed 4!

DJ PSKRATCH™‏@PSKRATCH1 MoAlaine is an SDA and Willy Paul is a Lejio Maria. I have no idea of how they are prayer partners #alaine

Replyremzilla‏@remzi_wemzi: Awww Alaine got married

Oscar pentium‏@Oscarpentium: I got no problem with willy paul marrying Alaine.My worry is,can our brother deliver ”D”effectively to alaine??Jst asking#ConcernedKenya

Its Gitz Bruh!‏@iGitz_ : Willy Paul Weds Alaine (Official Video)
FM

Chege‏@fmchege: If willy Poze can marry Alaine, then Jose Gatutura will marry Akothee
MANWARI‏@ReubenNyaribari: MorThe reason why you shouldn’t take this Willy Paul Alaine serious is that, the priest in this pic looks like a junior fuckboy. So I dont kno pic.twitter.com/JZgwIYo38N

Makala ya: Changez Ndzai (Kenya)

Facebook: Changez Ndzai

Twitter @: ChamgezN

Instagram: changez_ndzai48 minutes ago

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents