Burudani

Winger mpya wa Man United ajiweka karibu na ex wa Chris Brown, Karrueche Tran

Memphis Depay si jina geni hasa kwa mashabiki wa klabu ya Manchester United. Ni mchezaji mpya aliyesajiliwa majira haya ya joto hivi.

IMG_5264

Mchezaji huyo ameonekana akiwa karibu na aliyekuwa mpenzi wake na Chris Brown, Karrueche Tran. Wameonekana kwenye picha waliyopiga pamoja walipokutana huko Miami.

IMG_5265

Depay anatarajiwa kujiunga rasmi na timu yake mpya mapema mwezi ujao.

Kupitia Instagram, mchezaji huyo alipost picha hiyo na Karruache na hakuandika caption yoyote. Mashabiki wengi wameonekana kuipenda japo wamemuonya juu ya Chris Brown.

IMG_5266

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents