Burudani
Young Killer aimwagia sifa Wasafi Festival ‘huu ni ukombozi wa kweli’ (Video)
Msanii wa muziki wa hip hop, Young Killer Msodoki amefunguka kwa kulisifu tamasha la Wasafi Festival ambalo limefanyika kwa mara ya kwanza mkoani Mtwara.
Msanii wa muziki wa hip hop, Young Killer Msodoki amefunguka kwa kulisifu tamasha la Wasafi Festival ambalo limefanyika kwa mara ya kwanza mkoani Mtwara.