Burudani
Zamaradi afunguka kuhusu filamu ‘Cop’s Enemy’ iliyogharimu tsh milioni 200 na ujio wa TV yake (Video)
Mtangazaji na producer wa filamu, Zamaradi amefunguka kuzungumzia ujio wa filamu ya Cops Enemy iliyogharimu zaidi tsh milioni 200 za kitanzania.