Mahojiano

Dogo Janja: Khadija Kopa hajawahi kubadili aina ya uimbaji kwangu alikubali ni baraka sana (+ Video)

Akiongea na @el_mando_tz wakati anaitambulisha album yake @dogojanjatz ameeleza kuwa Mkongwe wa Taarabu nchini @officialkhadijakopa aliikataa beat husika akaitaka beat ya Regge.

@dogojanjatz amesimulia Album yake ambayo amewashirikisha wasanii wa kike kutoka Tanzania pia ameeleza namna anavyoupeda wimbo wao wa Nuru ambao amemshirikisha Nandy.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents