Burudani
Justin Timberlake kutumbuiza kwenye ‘Super Bowl 52 Halftime Show’ mwakani
Justin Timberlake amethibitisha kuwa atatumbuiza kwenye mapumziko (half time) ya fainali ya Super Bowl 52 itakayofanyika mwakani.
Kupitia mitandao yake ya kijamii, muimbaji huyo amethibitisha hilo kwa kuandika, “I DO have the time. Half the time…#PepsiHalftime #SBLII @Pepsi @NFL @JimmyFallon @FallonTonight.”
I DO have the time. Half the time…#PepsiHalftime #SBLII @Pepsi @NFL @JimmyFallon @FallonTonight pic.twitter.com/4Z4Dz29l3X
— Justin Timberlake (@jtimberlake) October 23, 2017
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa msanii huyo kutumbuiza kwenye fainali hizo zitakazofanyika Februari 4, 2018.