Burudani
Video: Grace Matata na Wakazi wafanya yao jukwaani
![](https://bongo5.com/wp-content/uploads/2018/03/Screen-Shot-2018-03-17-at-06.07.53.png)
Grace Matata ni miongoni mwa wasanii waliohudhuria katika uzinduzi wa albamu ya Wakazi ‘Kisimani’. Wawili hao walitoa burudani ya nguvu kwa kuimba wimbo waliofamya pamoja uitwao Dakika Moja.