Habari
BAKWATA wafunguka juu ya mahujaji 100 waliotelekezwa (Video)
Kitengo maalum kinachohusika na kusimamia waislam wanaokwenda kuhiji kutoka Bakwata, kimesema bado kinashughulikia tatizo la mahujaji 100 ambao walitelekezwa uwanja wa ndege na kampuni ambazo zilikuwa ziwapeleke kuhiji