Audio: Unaonekana wewe haushindwi kumuua mama yangu kama unawaza nikupe nyumba – Diamond
Msanii wa muziki Diamond Platnumz amefunguka kuzungumzia sakata la kutaka kurogwa na mzazi mwenzake Hamisa Mobetto ikiwa ni siku chache toka audio inayodaiwa kuwa ya mrembo huyo isambae mtandaoni akisikika kuzungumza na mtu anayeadaiwa kuwa ni mganga kuhusu familia ya rais huyo wa WCB.
https://www.instagram.com/p/BnToowpHNaN/?taken-by=bongofive
“Unapotaka kwenda kwa mganga uniroge mimi na mama yangu, unaonekana wewe haushindwi hata kumuua mama yangu, kama unawaza sijui nikupe nyumba. Voice notes zinasambaa sambaa hata mimi nilitumiwa, ninazo unasikia kitu halafu unajua huyu ni yeye, halafu nikamwambia huyu ni wewe,” alisema Diamond kupitia Refresh ya Wasafi TV.
Aliongeza,”Watu kuna vitu wanaongea ongea halafu wanajaribu kuvipindisha aonekane Mama yangu na dada yangu wana matatizo, mama yangu na dada yangu hawawezi kuwa na matatizo. Halafu hao watu wako unaowatuma wakatukane nimeshakuona ukiwatuma wakatukane kwa watu wengine kwa sababu pia uliwatuma pia wamtukane na Zamaradi,”
https://www.instagram.com/p/BnTpkMzgP_n/?taken-by=maimarthajesse
Wiki hii dada wa Diamond Platnumz, Esma aliandika ujumbe mrefu kukanusha taarifa ambazo zilikuwa zinasambaa kwenye mitandao kwamba wameandaa voice note kwaajili ya kumchafua Hamisa Mobetto.
Kikiiii
Uswahili
Huyu jamaa nae kila siku yeye kweli masikini akipata matako hulia mbwata
amisa amezd amefanya shamba kwa d
Kwani wewe hamisa uoni wanaume wengine? ujua sometimes unatia kichefu chefu khaaaaa
Uyo dada mi ananichefua sijui aliambiwa mwanaume ni D pekeake
fremason
Ivi uyu Dada atongozwi na wenginebkudhalilishwa kilancku khaavau ya d nitam mno
Hahahahaha
Au yadayamond inasukali
Majungu hayo.
Sio masufuria
Njaaa
Anajiendekeza kuzaa nae sio tatizo la mtu kumganda hivyo mpk kumwendea kwa waganga
Uy hamisa alizAa mtt wa kwnza n mwanaume mwngn ila yy kakomaliaa diamond tuu
Na ww cku ukipata matako yako yatalia pwata pwata pwata
Thats what happens when a pig grows wings!
Just reading comments
Kiki
Diamond ni arsenal
Namuonea huruma wanavyomdhalilisha yani angeachana nao akatafuta maisha yake kwani kuzaa nae ndio amgande. Mbona kama nyumba hata hamisa uwezo wa kujenga anao akijipanga kwani lazima ajengewe na mwanaume.
Wanawake angalieni watu wakuwaloga wengine mtaumbuka
Kaka rauka kutoka ndotoni that is call set up from people who hate Hamisa,they come up with it to tarnish Hamisa’s name and to break your relationship with her may be that can be their last resort after they realized bado mko pamoja therefore they used the sensitive part of your life your Mum because they know u love your mom,hekima ni kitu ya maana Kaka because why did they sent it to u in the first place,elemika Kaka,those behind you are either the ones who want u back in their life or the ones who DNT want to see u together…..mapenzi,wivu nk ndio chanzo ya hayo yote
Either your people are the one involved in the scam or Hamisa’s friends or even Tukinao…. Jealous people will used sensitive things and issues to manipulation your in whichever ways for their success therefore the ball is in your court #Diamond judge it well may God grant u wisdom so that u may not take part in it or fall for their stupid scams
Jike shupa
Kosa ulilo Fanya ni kutembea na huyu mwanaume hamisa duuuuuuh, alafu mnajiona wazuri