Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Baba levo alivyopokelewa kama Mfalme katika soko la akina mama Ujiji Kigoma
Hapa Mwanga Kigoma @officialbabalevo kama Mfalme wao yani huwaambii chochote wakazi wa hapa.
@officialbabalevo akiambatana na @mwijaku pamoja na @el_mando_tz wamefika kiwasalimia akinamama na wafanyabiashara wa hapa soko la usiku na mapokezi yake usipime.
@officialbabalevo alikuwa Diwani wa Mwanga hapa Kigoma Mjini kupitia Chama Cha ACT WAZALENDO.
@mwijaku amsifia @officialbabalevo