Habari

BAKWATA wafunguka juu ya mahujaji 100 waliotelekezwa (Video)

Kitengo maalum kinachohusika na kusimamia waislam wanaokwenda kuhiji kutoka Bakwata, kimesema bado kinashughulikia tatizo la mahujaji 100 ambao walitelekezwa uwanja wa ndege na kampuni ambazo zilikuwa ziwapeleke kuhiji

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents