Michezo

Bayern Munich wapo kwenye mbio za kumsajili Paulinho

Klabu ya Bayern Munich wamefanya mazungumzo na kiungo wa Guangzhou Evergrande, Paulinho kuhusu uhamisho wa majira ya joto kwa mujibu wa RMC.

Mbrazili ambaye amekuwa katika kiwango cha hali ya juu na Carlo Ancelotti anatamani kumpata mchezaji huyo wa zamani wa Tottenham.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents