Burudani

BBC: Nyimbo 10 za Afrika Mashariki zilizofanya vizuri 2019, WCB waingiza 4

Jumamosi hii BBC imetoa orodha ya nyimbo 10 za wasanii wa Afrika Mashariki zilizofanya vizuri mwaka 2019 huku Tanzania ikiingiza nyimbo  7 ambapo kati ya hizo  nne zimetoka kwenye label ya WCB. Tukiachana na list hii wewe pia kama shabiki wa muziki unaweza kuorodhesha hapo chini nyimbo gani zilizofanya vizuri mwaka 2019.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents