Michezo

Bei ya tiketi kushuhudia pambano kati ya Mayweather na McGregor ni kufuru

Tiketi za kushuhudia mpambano wa masumbwi kati ya bondia, Floyd Mayweather dhidi ya Conor McGregor zinauzwa kwa dola 150,000.

Mpambano huo unatajwa kuwa wa gharama zaidi kuwahi kutokea na tiketi kwa sasa zinauzwa kama njugu.
Mayweather mwenye miaka 40 awali alistaafu lakini amerejea kupambana na McGregor.

Unatarajiwa kupigwa Agosti 26 katika uwanja wa T-Mobile mjini Las Vegas utakaoingiza watu elfu 20.
Unaweza ukanunua na wewe Tiketi yako   HAPA   ili ukashuhudie pambano hilo la kukata na shoka.

By Hamza Fumo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents