Habari
CHADEMA wangeniteua nisingekubali, mimi si mwanasiasa – Dkt. Hellen Kijo-Bisimba (+video)
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Hellen Kijo Bi – Simba baada ya kustaafu amesema kuwa taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya Kijamii za kuteuliwa na Baraza la Wazee wa Chadema si la Kweli na hata angeteuliwa na CHADEMA asingekubali kwasababu yeye si Mwanasiasa: Tazama video hii akieleza.