Habari
Daraja lingine hatarini kubomolewa na maji Morogoro, Waziri aingilia kati na kuongea haya – Video
Daraja lingine hatarini kubomolewa na maji Morogoro, Waziri aingilia kati na kuongea haya - Video
Mawasiliano kati ya wilaya ya Kilosa na Kilombero yapo hatarini kukatika kufuatia maji kujaa na kuanza kumega kingo za daraja la Ruaha linalotenganisha Wilaya hizo baada ya shirika la Umeme kufungulia maji ambayo yamejaa katika bwawa lankufua umeme la Kidatu.
https://www.instagram.com/p/B99NFVGBY_v/
By Ally Juma.