Burudani
Diamond na mameneja wake watupa jiwe gizani ‘tangazeni tamasha lenu na sisi tutangaze la kwetu tupambane’ (+video)
Diamond na uongozi wake wamefunguka ishu ya Media zinazowabania kucheza ngoma za wasanii kutoka WCB, huku wakieleza kuwa wanasubiri ratiba za Media hizo kutangaza ratiba za matamasha yao ili Wasafi Festival itoe ratiba yao ili waweze kushindwa kibiashara.
FREE NATION
Waambie wafanye yao waache ujinga
Pmojaa…
Kama kawis mtawafunika,wcb inatisha sana.
Kumbe ni mashindano!!!!
Wameyakanyaga claudia
Jibebe..Jibebee…
πππππππ€
Safari hiyi hawauzi hata wafany bule mwey mufany shilingi 20000 wataingia wasafi festival wcb for life
Hahahaha kazi sana kushindana na mtu ambae hashindani na wewe utamaliza nguvu nyingi sanaaaaaaa mtoto ni mtoto hata iwe vipi…
Haha kwaiyo fiesta haendi mtu sasa
acheni maneno fanyeni kazi
Mashindano hayo vip ebu fanyen kazi achen maneno
Good kwa kujiamini boy
hahahahahahahaha io ndo game nnayo itaka
Watajibebaπππ
Good challenge.