Burudani

Diamond Platnumz atajwa na kituo CNN kuwa miongoni mwa wasanii 10 wakubwa barani Afrika

Diamond Platnumz atajwa na kituo CNN kuwa miongoni mwa wasanii 10 wakubwa barani Afrika

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva kutoka Tanzania Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya wasanii 10 bora kutoka barani Afrika.

CNN imeandaa orodha hiyo ya nyota 10 wakubwa zaidi za muziki Afrika mwishoni mwa juma na Nigeria ilionyeshwa kwa kiburi kwa kutoa wasanii watano bora Burna Boy, Yemi Alade, Wizkid, Mr Eazi, na Tiwa Savage.

1. Burna Boy – Nigeria

2. Angelique Kidjo – Benin

3. Diamond Platnumz – Tanzania

4. Yemi Alade – Nigeria

5. Tiwa Savage – Nigeria

6. Wizkid – Nigeria

7. Mr. Eazi – Nigeria

8. Sho Madjozi – South Africa

9. Busiswa Gqulu – South Africa

10. Mwila Musonda, aka Slapdee – Zambia

 

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents