Michezo

Diego Costa ameshtakiwa kwa utovu wa nidhamu na FA

Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea Diego Costa ameshtakiwa kwa utovu wa nidhamu baada yake kuonyeshwa kadi nyekundu Jumamosi wakati wa mechi dhidi ya Everton.

160314183501_diego_costa_512x288_bbc_nocredit

Diego Costa ameonekana aking’ata Barry kwenye mechi yao ambapo hadi alama za meno zilionekana kwenye picha video. FA imetoa statement kwamba, “Ni tabia isiyokubalika, baada kuonyeshwa kati ya pili ya njano na bado anaonyesha tabio isiyokubalika uwanjani. Hadi Alhamisi saa 12 jioni ndio muda aliopewa kutoa maeleozo”

Aidha, amepewa hadi Jumatano kutoa ufafanuzi kwa FA kuhusu ishara aliyoitoa kwa mashabiki wa Everton alipokuwa akiondoka uwanjani wakati wa mapumziko.

Kwa hiyo hadi Alhamisi ambapo Costa atatoa maelezo kuhusu hili tatizo na chama cha soka cha England kitatoa hukumu yake juu ya Costa.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents