Burudani

Dj wa Clouds Scratch Designer afunguka bifu la S2kizzy na Abbah

Katika mazungumzo na Bongo5 tv Dj wa Clouds Media @djscratchdesigner amefunguka kuhusu maisha yake huku akielezea kuhusu project yao mpya ya Team Crown kuwagusa wenye uhitaji kwa Mikoa tofauti tofauti

Mbali na hilo Scratch amefunguka kuhusu sakata linaloendelea kwenye mitandao ya kijamii kati ya produza S2kizzy pamoja na Abbah

Video nzima katika akaunti yetu ya youtube ya Bongo5

Written and edited by @abbrah255 Camera man @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents