Burudani

Jaivah “mimi ni mtetezi wa ndoa za watu” sakata la S2kizzy na Abbah

JAIVAH “MIMI NI MTETEZI WA NDOA ZA WATU“ AFUNGUKA SAKATA LA S2KIZZY NA ABBAH

 

Katika mazungumzo na Bongo5 tv nyota wa muziki wa amapiano @jaivah ameeleza kuwa yeye amekuwa mtetezi wa ndoa nyingi za watu ambapo katika hilo amegusia sakata linaloendelea kwenye mitandao ya kijamii kati ya Produza S2kizzy pamoja na Abbah

Video nzima katika akaunti yetu ya youtube ya Bongo5

Written and edited by @abbrah255 Camera man @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents