Habari
Dkt. Hosea Rais mpya wa TLS (+ Video)
Dkt Edward Hosea Rais mpya wa Chama cha wanasheria Tanganyika TLS ameshinda kwa jumla ya kura 293 Akifuatiwa na malkia wa nguvu Flaviana Charles aliyepata Kura 223 Kati ya kura 802 zilizo pigwa na wanachama hao.