Burudani
Dotto Magari adai hataacha mbwembwe ‘Masikini hana kiasi’ Video)
Mshereheshaji mtandaoni @dotto_magari tumefanya naye mahojiano kuhusu kauli ambazo anazitoa mtandaoni baada ya watu kudai kwamba anapitiliza mikapa.
Dotto alidai hawezi kuacha kufanya hivyo kwa kuwa amepitia maisha magumu yakuchekwa na kusimagwa hivyo kwa sasa ni wakati wake.
Kuangalia full interview tembelea YouTube ya BongoFive