Habari
Dr.Faustine Ndugulile: Sisi kama Sekta iliyoguswa na tozo hii tunakusanya maoni ushauri (+ Video)
“Sisi kama Sekta ambayo imeguswa na tozo hii tunakusanya maoni ushauri na kuchakata takwimu na Wizara yangu itakupa ushirikiano Waziri Nchemba ili maelekezo ya Viongozi wetu tuhakikishe yamefanywa, niwaombe Watanzania tuwe watulivu katika kipindi ambacho Serikali inalifanyia kazi jambo hili la tozo”