Burudani

Familia ya Idris yamuwashia taa ya kijani Samantha

Mapenzi urafiki wa Idris Sultan na mrembo wa Afrika Kusini aliyekuwa swahiba wake wa karibu kwenye shindano la Big Brother Africa, Samantha, umefika kwenye hatua ya juu zaidi.

10864671_397380463765016_643512852_n

Samantha ambaye bado yupo nchini amepokelewa kwa mikono miwili na familia ya Idris.

10898947_1534667956788834_1439145172_n

“They’ve only been good to me and I can’t say thank you enough. How people can love you this much but only no you a few weeks is beyond me,” ameandika Samantha kwenye picha akiwa na familia ya Idris.

“God bless your beautiful hearts . Thank you ! Thank you ! Thank you.”

Katika picha nyingine akiwa na Idris, mrembo huyo ameandika: And there was light . When you trying to take a selfie and someone else is taking a pic of you.#Lastnight#selfielife#baemuch#thisnigga#love#peace#happiness#godfirst.”

10844082_623845601076191_568666759_n

Wakati huo huo Samantha ametumika kama mrembo kwenye kava la wimbo wa Millian, Until Forever Ends.

891443_784016758314566_777176530_n

Related Articles

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents