Habari
FULL VIDEO: Hivi ndivyo Sam wa Ukweli alivyozikwa Bagamoyo, Dkt. Kikwete ahudhuria kwenye mazishi
Leo Juni 8, 2018 Mwili wa marehemu Sam wa Ukweli umeagwa jijini Dar es salaam na kwenda kuzikwa mkoani Pwani ambapo moja ya watu wakubwa waliohudhuria kwenye mazishi ni aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete.
Tazama video ya tukio zima hapa chini: