Burudani

Gaga Blue afunguka kuhusu BongoFleva ‘WCB namkubali Rayvanny kuliko Diamond’ (Video)

Msanii wa muziki kutoka Burundi, Gaga Blue amefunguka kuuzungumzia muziki wa bongofleva na mafanikio yake Afrika Mashariki. Rapa huyo amedai katika label ya WCB, msanii ambaye anamkubali na kumuona ni jembe ni Rayvanny.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents