Akiongea na @el_mando_tz @ibraah_tz alimaarufu Chinga ameeleza kwa urefu kuhusu kinachoendelea kati take na @miriamodemba
@ibraah_tz amesema kuwa atajaribu kuongea naye na kama wataelewana basi anaweza akawa naye kwani @miriamodemba ni mwanamke.
Mbali na hilo pia amezungumzia kuhusu yeye kutokuwepo kwenye tuzo. Mtu akimzingua @harmonize_tz mimi ntamzingua maisha yangu yote.