Burudani

RECAP: S2kizzy kuzinguana na Abbah, ukweli juu ya Producer bora Tz (Video)

Bongofive kupitia kwenye kipindi Chake cha RECAP & MANDO el_mando_tz amezungumzia kinachoendelea kati ya Maproducer S2kizzy na Abbah.

Anasema ni kweli kuwa wote ni Maproducer wakali ila wanatofautiana kwa ubora na hata kwa utengènêzaji wa hits Songs.

 

Msikilize el_mando_tz Kisha toa maoni yak kuhusu anachozungumza.

Uchambuzi mzima upo katika akaunti yetu ya Youtube ya BongoFive.

 

Host:el_mando_tz

Cameraman:Samirkakaa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Imeandikwa na Mbanga B.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents