Burudani

Jacqueline Mengi kuzindua taasisi yake ‘Dr Ntuyabaliwe Foundation’ Alhamis hii

Miss Tanzania 2000, Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi, Alhamis hii atafanya uzinduzi wa taasisi yake, Dr Ntuyabaliwe Foundation.

13658832_1892450890982396_369938720_n

Jacqueline ambaye ni mke wa Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Limited, Dr Reginald Mengi, alianzisha taasisi hiyo kama njia ya kumuenzi marehemu baba yake, Dr Ntuyabaliwe.

14099703_1842052259358676_55132710_n

Uzinduzi wa taasisi hiyo utafanyika kwenye shule ya msingi Kinondoni jijini Dar es Salaam, kuanzia saa nne asubuhi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents