Habari
Jay Be ndani ya Sauzi
Wanandoa wanaotengeneza vichwa vya habari kila kukicha kutokana muziki wao kuwa juu, Jay Z na Beyonce, wametajwa miongoni mwa wanamuziki watakaotumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa Kombe la Dunia kwenye uwanja wa Orlando Juni 10 2010. Wawili hao wataimba nyimbo zao zilizofanya vizuri huku watazamaji wakikadiriwa kuzidi bilioni 5
Pamoja nao watakuwepo Black Eyed Peas na wasanii wengine kutoka Afrika