Michezo

John Terry kukosa mechi ya ugenini dhidi ya PSG

Nahodha wa Chelsea John Terry hatoweza kucheza mechi ya hatua ya 16 bora Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Paris St-Germain Jumanne jioni.

john-terry-chelsea

Terry mwenye miaka 35 atakuwa anauguza jeraha kwenye misuli ya paja.

Meneja Guus Hiddink amesema anaamini klabu hiyo inaweza kujimudu bila nahodha huyo.

313DBB6D00000578-3448232-image-a-9_1455560602574
Akiongea na waandishi wa habari

Hakusafiri pamoja na wachezaji hao kuelekea Ufaransa Jumatatu.

Aliumia wakati wa ushindi wa Chelsea wa 5-1 dhidi ya Newcastle Ligi ya Premia Jumamosi.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents