Habari

Kansa ilivyoondoa maisha ya mkali wa black Panther Chadwick Boseman

Mwigizaji Chadwick Boseman ambae ameng’aa sana kwenye movie kama Black Panther na 21 Bridges amefariki dunia akiwa na miaka 43 ambapo kansa imetajwa kuwa chanzo.

Mandatory Credit: Photo by Katie Jones/Variety/REX/Shutterstock (9982486ao)
Chadwick Boseman
Variety Actors on Actors, Day 2, Los Angeles, USA – 18 Nov 2018

Chadwick ambaye amekua akiugua kansa toka mwaka 2016 amefia nyumbani kwake akiwa na Mke wake pembeni pamoja na familia

https://www.instagram.com/p/CEdhuSlB-bn/

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents