Mahojiano

Kijana wa Kitanzania aliyejipatia umaarufu Ulaya: Nilitukanwa nikaambiwa nacheza nyimbo za WCB tu, P Square nawadai (+ Video)

@petitafro ni kijana wa Kitanzania aliyeamua kujiajiri kupitia kipaji chake cha kucheza ( Dance), kwa sasa anaishi katika mataifa mawili amabyo ni Uholanzi na Uhispania.

Hapa anaeleza jinsi Watanznaia walivyokuwa wanamponda wakimwambia anacheza nyimbo za WCB pekee yake lakini pia @diamondplatnumz alivyomsapot na kumfanya ajulikane Tanzania na Afrika Mashariki.

Petit ameeleza kuwa wasanii wa Nigeria P Square kuwa hawakulipa deni lake hadi leo baada ya kucheza kwenye show yao.

@petitafro ameeleza pia sakata la Ubaguzi wa Rangi Ulaya hasa Wamarekani kumtaka aache kuwafundisha wazungu asili za Kiafrika.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents