Rais wa Uturuki ametangaza kwamba ligi zote za soka nchini humo kwasasa zizimamishwe.Hii ni baada ya kutokea tukio la kihuni kufanyika katika mechi ya ligi kuu kati ya Ankaragucu na Rizespor mechi ambayo ilishuhudia mwamuzi wa mchezo huo Halil Umut akicheza kichapo kikali kwa kupigwa ngumi na mateke usoni baada ya mchezo.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
MUSIC AUDIO: Cassase – KILIMANJARO2 weeks ago
-
MUSIC AUDIO: Wakateezo Ft Msami – MUZIKI2 weeks ago