HabariMichezo

Kisa refa kupigwa Rais Uturuki asimamisha Ligi

Rais wa Uturuki ametangaza kwamba ligi zote za soka nchini humo kwasasa zizimamishwe.Hii ni baada ya kutokea tukio la kihuni kufanyika katika mechi ya ligi kuu kati ya Ankaragucu na Rizespor mechi ambayo ilishuhudia mwamuzi wa mchezo huo Halil Umut akicheza kichapo kikali kwa kupigwa ngumi na mateke usoni baada ya mchezo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents